Nilikua nauliza je naweza fanya mtihan wa level 2 kwa kozi ya umeme wa magari...maaana nlisoma then sikufanyia mtihan kupitia mradi wa UNICEF..visibitisho vyote ninavyo kama nilisoma umeme huo wa magari....je inawezekana nije kuomba hapo na kufanya mtihani huo wa kitaifa wa level 2 umeme wa magar (auto electrical)naomba kujua
Nilikua nauliza je naweza fanya mtihan wa level 2 kwa kozi ya umeme wa magari...maaana nlisoma then sikufanyia mtihan kupitia mradi wa UNICEF..visibitisho vyote ninavyo kama nilisoma umeme huo wa magari....je inawezekana nije kuomba hapo na kufanya mtihani huo wa kitaifa wa level 2 umeme wa magar (auto electrical)naomba kujua
ReplyDeleteHizo naomba za simu hazipatikani.
ReplyDeletePia ni vema kuweka tarehe ya kuanza mafunzo
Wekeni mawasiliano ya uhakika.
ReplyDeleteNataka kujua chuo kinafunguliwa lini?
Nami mwanangu nampeleka hapo na tarehe ya kufungua chuo ni Leo 25/01/2025. Hii ni Kwa mujibu wa fomu ya kujiunga na chuo ya mwaka huu
Delete